Kuletea watu binafsi, familia, jamii na biashara mabadiliko ya kifedha
Ofisi: +255 736 611 617
Dharura: +255 739 611 612
Tuma Maoni

Huduma za Kibenki Kupitia Simu

Huduma za Kibenki Kupitia Simu

Huduma za Kibenki Kupitia Simu

Tangu mwaka 2009, wateja wetu wamekuwa na uwezo wa kufanya amana kupitia simu zao za mkononi. Wateja wa LOLC Tanzania wanaweza kutumia huduma za M-Pesa na Mixx By Yas kulipa marejesho wakati wowote na popote walipo.